Baadhi ya wachungaji wa kanisa hilo wakiwa katika maandalizi ya kuanza ibaada katika kanisa lililopo ndani ya Ofisi za jimbo eneo la jakaranda jijini Mbeya |
Mmoja wa washiriki wa wa ibada hiyo ambaye jina lake halikutambulika mara moja akitolewa nje na watumishi wa kanisa hilo mara baada ya kupandisha mapepo wakati ibaada ikiendelea |
Baadhi ya wachungaji wakishika moja minyororo iliyotumika kufunga ofisi za jimbo hilo kwa lengo la kuiombea na kutoa mapepo. |
Post a Comment