Mnala wa kumbukumbu ya mashujaa uliopo jijini Mbeya |
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw Abbas Kandoro akiweka Ngao ya ishara ya kuwakumbuka wanajeshi katika Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashujaa Jijini Mbeya.picha na Fahari News |
Meya wa jiji la Mbeya Ndugu Athanas Kapunga akiweka mikuki katika mnala wa kumbukumbu ya mashujaa |
Mmoja wa wazee waliopigana Vita Kuu Ernest Waya(92)akiwa
ameshikiliwa kwenda kuweka Shoka kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa
|
Chifu wa mkoa wa Mbeya Roketi Mwashinga akiweka shada la
maua
|
Post a Comment