Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mr Blue Kabaisa alivyowapagawisha wakazi wa Morogoro wiki iliyopita ,Mbeya tarehe 28.09 .2014   ndani ya Viwanja vya City Pub Serengeti Fiesta 2014 ni Shidaaaa!!!!!!!!!!!
Mtu mzima Madee makamuzi yale yale ,Mbeya tarehe hiyooo 28 ndani ya City Pub usikose 
Vannesa Mdee akifanya yake katika moja ya show za fiesta mikoa mbalimbali nchini ,sasa kwa wakazi wa mbeya kaeni tayari 
Mmoja wa mashabiki aliyekuwa kwenye Tamasha la Fiesta akishangilia huku akiwa amebebwa na mwenzake.
 Stamina na Ney wa Mitego wakilishambulia jukwaa mbele ya umati wa wakazi wa mji wa Morogoro wiki iliyopita ndani ya uwanja wa Jamhuri.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top