Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kufuatia andiko la staa mrembo  kutoka Bongo Movies, Faiza Ally ambae ni mzazi mwenzie na mbunge wa CHADEMA , Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ aliloandika kwenye ukurasa wake mtandaoni akidai kuwa anatamani kufanya mapenzi kwani ni muda mrefu sana hajafanya mapenzi.
“Natamani sana kufanya SEX nikikwambia Nina muda gani sijafanya huwezi kuamini - I NEED SEX ..GOOD ONE”-Faiza Aliandika.
Mara baada ya bandiko hilo wadau na mashabiki wengi walimshambulia kwa maneneo kuwa kama mwanamke na mama wa mtoto kitendo hicho ni kujidharilisha  sana achiliambali yeye kama ni kioo cha jamii.
Faiza nae akajibu mapigo kwa kueleza “ Nina mwaka mmoja na miezi minne sijafanya tendo la ndoa na sema hadharani kwani cha ajabu ni nini anaetaka kunipenda kwa hili anipende na anaenichukia  shauri yake kwani  ni mambo yangu binafsi hayamuhusu mtu”
Hapa mimi sina chakuongeza.
Mzee wa Ubuyu

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top