Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Wanafunzi wa shule mbalimbali za jiji la mbeya wakiwa ndani Lori kuelekea katika vituo vyao vya shule kufutia mgomo wa daladala na mabasi makubwa .

Leo hakuna adhabu ya kuchelewa namba shule.......ni wanafunzi wa shule mbaimbali jijini mbeya wakiwa katika kituo cha mabasi madogo daladala Mwanjelwa wakisubiri usafiri wa aina yoyote utakao wafikisha mahala wanapo takiwa kufika mara baada ya kuwepo kwa mgomo wa madereva wa daladala na mabasi makubwa wakishinikiza serikali kuwatatulia kero mbalimbali walizo nazo ambazo wanataka wamiliki au waajili wao wazipatie ufumbuzi(.Picha na Fahari News)



HE!!! kumbe hawa si abiria ni madereva na makonda wa daladala nao wakihaha kutaka kutoa huduma lakini ndo hivyo wanasubiri tamko la viongozi wao




hatimaye bajaji zatinga kazini kuwahi fursa

Hapo kwenye Lori hakuna nauli ni msaada tu.(Picha na Fahari News)













Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top