Moja ya jengo linalotumiwa na wanafunzi wa shule ya Msingi Katembere iliyopo Serengeti Mkoani Mara
yakiwa katika hali mbaya ,ambapo benki ya posta Tanzania TPB imeamua
kusaidia ujenzi wa jengo moja lenye madarasa mawili pamoja na ofisi ya
walimu kama sehemu ya mchango wake katika kusaidia sekta ya elimu nchini ambapo ujenzi huo unatalajiwa kuanza mwezi ujao |
Post a Comment