Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Rais wa Marekani Barack Obama amesema bintiye wa miaka 15, Sasha, alimcheka kwenye ujumbe aliowatumia marafiki zake kupitia mtandao wa kijamii wa Snapchat.
Kiongozi huyo wa Marekani amesema Sasha alimpiga video akijadili mtandao huo wa kijamii kwenye dhifa ya familia na kisha, kisiri akawatumia marafiki zake akiwa ametoa maoni yake.
Hii si mara ya kwanza kwa rais huyo kujadili shughuli za mtandaoni za bintiye huyo.
Mwezi Julai, alisema kwamba Sasha hutumia Twitter na kusababisha baadhi ya vyombo vya habari kujaribu kutambua akaunti ya Sasha kwenye Twitter.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top