Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

kamu1
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk.  John Pombe Magufuli katika mkutano wa AU kwenye  Makao makuu ya Umoja huo  Ethiopia.Mkutano umefunguliwa hii Leo Jijini Addis Ababa.
kamu2
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ambaye  amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk.  John Pombe Magufuli katika mkutano wa AU katika Makao makuu ya Umoja huo nchini Ethiopia.Mkutano umefunguliwa hii Leo Jijini Addis Ababa.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top