Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
sop1
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akizungumza alipokutana na Balozi wa Finland Nchini, Pekka Hukka (kushoto). Balozi Hukka alimtembelea Waziri Muhongo Ofisini kwake, Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini Jijini Dar es Salaam ili kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo uboreshaji wa Sekta ya Nishati nchini.
sop2
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akizungumza wakati wa kikao na Balozi wa Finland Nchini, Pekka Hukka (katikati). Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo.
sop3
Balozi wa Finland Nchini, Pekka Hukka (kushoto) akizungumza na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
sop4
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akipeana mkono na Balozi wa Finland Nchini Tanzania, Pekka Hukka wakati Balozi huyo alipomtembelea Waziri Muhongo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
sop5
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akizungumza katika kikao na Balozi wa Finland Nchini, Pekka Hukka (kushoto).

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top