Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mlima Kilimanjaro umeshinda tuzo ya Kivutio Kinachoongoza kwa Utalii barani Afrika 2017, kwenye 'World Travel Awards'. Je, mwaka huu una plan ya kwenda kukwea mlima Kilimanjaro? na kama ulishawahi kupanda sema ilikuwa mwaka gani?

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top