Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Hili ni daraja linalotumiwa na wakazi wa jiji la Mbeya  hususani kwa  wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mbeya Day pamoja na wanafunzi wengine wa shule za jirani likiwa limechoka au kuharibika vibaya kwa nguzo zake kuoza kwa kiliwa na michwa hivyo kuna hatari ya kutokea kwa janga katika daraja hili kama halita patiwa ufumbuzi na wahusika.





jamiimojablog

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top