Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
TAARIFA ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba balozi mdogo wa Libya nchini Tanzania , Bwana Ismail Nwairat amejiua ofisini kwake.
Taarifa za awali zinasema Balozi huyo alijifungia ofsini kwake na kujipiga risasi kifuani.
Hata hivyo haijalezwa nini chanzo cha tukio hilo na taarifa hizo hazijathibitishwa rasmi na mamlaka zinazohusika.
Mtandao huu unafuatilia kwa umakini taarifa hizi na pindi zitakapotbitishwa utajuzwa kwa kina.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top