Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Diwani wa kata ya Tunduma Wilayani Momba Mkoni Mbeya wa kwanza

kutoka kushoto akimsikiliza kwa makini  Dk Samson Kibona katikati,
anaye jihusisha na tiba mbalimbali kwa mbadala,Diwani huyo alizuru
katika eneo la shamba la mahindi linalo milikiwa na Dk katika kijiji
cha Isanga kata Nkangamo Momba  ili kujionea namna anavyo jihusisha na
uzalishaji mahindi kwa njia ya kitaalamu kulia ni meneja wa shamba
hilo Nandi Mwandandila (PICHA NA  KENNETH NGELESI)


Trekta mali ya Dk Samson Kibona likiwa katika kazi ya kufyeka

na kisha kusaga mabua ya mahindi mara baada ya zao hilo likiwa
limeshwa vunvwa kama lilikutwa na mpiga picha hihi karibuni katika
kijiji cha Isanga kata ya  Nkangamo Wilayani Momba Mkoani Mbeya 
Baadhi ya akina mama kutoka kijiji cha Isanga kata ya Nkangamo

wakiokota mahindi kwa ajili ya kupeleka kwenye mashine ya kupukucha
kwa kutumia trekta katika shamba na DK Samson Kibona ambalo limetumika.

Mabua ya mahindi katika shamba yakiwa yamefyekwa  kutumia trekta ikiwa ni teknilogia ya kisasa ambapo mara baada ya hatua hiyo hufukiwa chini kwa matumizi mengine kama mboji.
Dk Samson Kibona mtaalumu wa tiba asilia akiwa katika shamba lake

la mahindi akitoa m,ajumu kwa watu wanao msadidia kazi ya shamba kam
alivyokutwa na mpiga picha hivi karibuni,shamba hilo lila ukubwa wa
Hekta 70 lipo umbali kilomita 20 kutoka mji wa Tunduma Mkoani Mbeya
barabaya ya Sumbwanga.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top