Moja ya nyumba ya bei nafuu iliyojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya Sayuni Hardware katika maonyesho ya wakulima Nanenane Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Katika viwanja vya John Mwakangale ambapo ujenzi nyumba hiyo kwa eneo la Tofali pekee umetumia shilingi Mil 2.7 ambazo tofali 2700 kwa nyumba nzima.
Afisa Masoko wa Kampuni ya Sayuni, Ndugu Burton Hebron akitoa maelezo kwa wateja waliotembelea banda hilo linalotengeneza tofali za kisasa kwa kutumia mashine toka China iliyopo eneo la Sae Jijini Mbeya. Picha na Kenneth Ngelesi
Hivi na Moja ya Vyumba vilivyoppo Ndani ya Nyumba hiyo
Samahani mpo mbeya sehemu gani?
ReplyDelete