Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt ,Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia Mikono wananchi waliofurika katika uwanja wa Uhuru Jijiji Dar es salaam kwa maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara akiwa katika gali maalumu lililozunguka katika uwanja huo.kushoti ni Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama ,Jenelari  Davis Mwamunyange.

Vikosi vya Ulinzi na Usalama vikitoa heshima wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Jakaya Mrisho  Kikwete alipowasili katika uwanja wa Uhuru jijini Da r es salaam leo katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania bara


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Makamo wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi katika Maadhimisho ya  kilele cha Miaka 53 ya Uhuru Tanzania Bara zilizo fanyika leo katika Uwanja vya Uhuru jijini Dar es salaam ,Katikakati Waziri Mkuu ,Mizengo Pinda 


Mke wa Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar ,Dkt,Ali Mohamed Shein katika sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo katika uwanja wa  Uhuru wa jijini Dar es salaam.


Mabalozi wa nchi Mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini pamoja na wananchi wakiwa katika sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru ambapo Mgeni Rasmi akiwa,akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Jakaya Mrisho Kikwete.Picha na Ikulu

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top