Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Leo nlikuwa na Kibarua cha kwenda kununua Muvie zote nizipendazo za kihindi nlizokuwa naendaga kutazama vibandani kwetu Tandale, Namkumbuka Mwenye Banda alikuwa anaitwa Johny!... Heb Niambie Movie ipi Unaikumbuka Na Ulikuwa unaiangaliga Wapi na Mwenye banda alikuwa anaitwa nani??? ‪#‎Bangalore‬ ‪#‎INDIA‬

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top