![]() |
| Mipango ya kuwezesha Watanzania waishio nje kupiga kura uchaguzi mkuu ujao inaendelea |
Serikali ya Tanzania imedokeza kuna
uwezekano wa kuweka historia kwa Watanzania waishio nje kupiga kura
katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba.
"Watanzania walio nje wana haki kushiriki katika zoezi hili na tuna nia ya kuona hilo linafanyika."alieleza Waziri Pinda
Hata hivyo imesemekana kuna changamoto za kiufundi ambazo amesema anaamini tume ya uchaguzi NEC na ZEC zitashughulikia.BBC SWAHAILI







Post a Comment