Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Hatimaye Kenya na Tanzania zimeafikia suluhu ya mgogoro uliokuwa ukiendelea kuhusu agizo lililotolewa kwa kampuni ya ndege ya KQ kupunguza safari zake za ndege nchini Tanzania.Kwa sasa ndege za Kampuni ya KQ kutoka Kenya zitaendelea na safari zake kama ilivyokuwa huku magari ya utalii ya Tanzania yakiruhusiwa kuingia katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.Viongozi wa mataifa haya mawili Jakaya Kikwete na mwenzake Uhuru Kenyatta waliafikiana katika mkutano nchini Namibia.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top