| Mwigulu Nchemba akiwasili ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya tayari kwa kudhaminiwa kuelekea Urais 2015.Picha Emanuel Madafa |
| Mwigulu Nchemba akisalimiana na WanaCCM Mkoa wa Mbeya walioamua kwa dhati kumdhamini iliaweze kupitishwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . |
| Mwigulu Nchemba akikabidhiwa orodha ya wadhamini wa Mkoa wa Kagera hii leo,Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya. |
| Mwigulu Nchema akionesha orodha ya majina ya wanaccm waliomdhamini Nimedhamini Mkoani Mbeya |
![]() |
| Mwigulu Nchemba akizungumza na Wanaccm Mkoa wa Mbeya |







Post a Comment