 |
| Helkopta ilimbeba Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho Taifa, Dk. Raphael Chegeni, |
Waziri
Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja
na Wananchi wa Mkoa wa Mbeya leo Juni 19, 2015, wakati shukrani
kwa udhamini wa kishindo alioupata kutoka wa WanaCCM hao, ili aweze
kupata ridhaa ya Chama chake katika kuwania Urais wa Tanzania kwenye
Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa
amepata udhamini wa wanaCCM 53,119.
 |
| Msanii wa Nyimbo za Injili Bahati Bukuku akiwasalimia wanaccm pamoja na wanchi wa mkoa wa mbeya |
 |
| Waziri
Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za wanachama 53,119 wa
CCM Mkoa wa Mbeya , waliomdhani ili aweze kupata ridhaa ya Chama
chake katika kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa
kufanyika Oktoba 25, 2015 |
 |
| Mh.Lowasa akiteta jambo na machiief wa mkoa wa mbeya |
Post a Comment