Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Emmanuel, mwenye umri wa miaka 13, anaweza kutumia mkono wake mpya kufanya kazi za kawaida Lakini kundi moja la watoto waliopoteza mikono katika shambulizi wamepewa fursa mpya

Baraka ambaye anafikisha miaka sita baadaye mwezi huu alishambuliwa mnamo mwezi Machi. Wengine wengi wamekatwa viungo mbalimbali vya mwili kwa kuwa wengi wanaamini kwamba viungo vyao vinaleta bahati nzuri.

Mkono wake wa bandia sasa unamsaidia kupika Walisafiri hadi nchini Marekani ili kuwekewa mikono bandia.Wanne kati ya watano sasa wamerudi nchini Tanzania.CHANZO BBC SWAHILI


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top