Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
paulina
Paulina Mgeni ndio Miss Utalii Mkoa wa Iringa mwaka 2013 mpaka sasa kabla mashindano hayo hayaja simamishwa; ila kwasasa anafanya kazi za mitindo akiwa kama Mwanamitindo (Model), lakini anahitaji meneja wa kusimamia kazi zake hizo za Urembo (Modeling).
Paulina Mgeni ni Mwanamitindo (Model) anaefanya kazi za urembo na maonesho ya mitindo kwa kujitegemea yeye mwenyewe hayupo chini ya kampuni yoyote wala chini ya lebo ya mtu yeyete, japokua amekuwa akifanya shoo nyingi kwa kushirikiana na baadhi ya makampuni na wabuni mbalili, kwasasa anatafuta Meneja wa kuwa anamsimamia kazi zake.
Mwaka 2013 Paulina alikuwa Miss Utalii mkoa wa Iringa, akafanikiwa kuingia ngazi ya Taifa na kupata tuzo ya the Best Model of Tanzania, pamoja na kuwa Balozi wa models Tanzania; amefanikiwakufanya maonesho (shows) mbali mbali hapa Tanzania na nje ya Tanzania.
p2
Mwanamitindo Paulina Mgeni akiwa katika pozi.
Paulina amefanya kazi na wabunifu mbali mbali (designers) kama vile Asia Idalus, Kurwa Mkwandule, Adam Zanzibar house, Wolta Di Maria n.k. Maonesho (shows) makubwa ambayo amefanya ni Zanzibar fashion house mwaka 2014 na yale East Africa Fashion Week jijini Nairobi –Kenya akiwa na makeke internasional, maonesho hayo yalifanyika mwezi 3 tarehe 29 mwaka 2016. Hivyo kwa yeyote atakaehitaji kuwa meneja wa mrembo huyu kwa ajili ya kusimamia kazi zake unaweza kuwasiliana nae kwa namba +255 716 66 66 96 au kwa barua pepe mgenipaulina3@gmail.com
p3
Paulina Leonard akiwa katika maonesho Zanzibar, Fashion House.
Paulina Mgeni (wa kwanza kulia) akiwa katika maonesho ya East AfricaFashion Week jijini Nairobi mwezi 3 mwaka 2016
Paulina akiwa katika show ya Lady in RED jijini Dar es Salaam.
Mwanamitindo Paulina Mgeni katika photo shoot.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

  1. Pata mkopo wako sasa ndani ya masaa 48

    Siku njema

    Je! Unataka kuwa mjasiriamali, kuanza mradi au kununua nyumba au wewe ni katika kurekebisha fedha, msaada wako unakuja sasa, umepoteza ndoto yako, kujaribu kupata tayari, usiruhusu ndoto zako kufa, wasiliana na Mr. Fred zaidi, kwa mkopo wa haraka na wa kuaminika.

    Tunatoa aina hii ya mkopo chini:

    Mkopo wa biashara 1

    biashara
    mkopo wa tatu ghorofa

    mkopo 4. auto

    mkopo 5. mkopo wa mkopo, nk.

    Tunatoa mikopo kwa wateja wenye dhati na waaminifu ambao wako tayari kushirikiana nasi na kiwango cha riba cha 3%, kuanzia 100,000.00 hadi 500,000,000,000.00.

    Wasiliana nasi haraka kupitia e-mail yetu (fredmorefinance@gmail.com)

    (fredmorefinance@hotmail.com)

    Nambari ya Whatssap: +919654763221

    Iliingia

    Mkurugenzi

    Mheshimiwa Fred zaidi

    ReplyDelete

 
Top