Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla akizungumza katika mkutano na baraza la Madiwani Halmashauri ya jiji la Mbeya . |
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa siku saba kwa Mkuu wa wilaya na mkurugenzi
wa Jiji la Mbeya kuyaondoa magari yote ya mizigo yanayapark pembezoni
mwa Barabara mwa Barabara kuu kinyume na utaratibu wakati kuna vibao
vinaeleza ni marufuku magari ya mizigo kupark maeneo hayo." Siwezi
kuendelea kuona magari yamejazana hapa kuna vibao vinakataza lakini watu
hawatii makatatizo hayo madiwani mpo, viongozi mpo, takataka zinazagaa
watendaji mpo, viongozi tupo kuanzia leo usafi wa jiji letu ni sehemu ya
kipaumbele na kwa kuanza magari yote ya mizigo ndani ya wiki moja
yaondoke yapelekwe eneo lililotengwa "
Hayo ameyasema leo katika kikao cha pamoja na madiwani na watendaji wa jiji la Mbeya wakati wa kujadili taarifa ya mkaguzi na mdhibiti wa serikali( CAG)
Kuhusu ukusanyaji wa mapato amewataka watendaji na madiwani kudhibiti mapato kwa kuhakikisha mapato yote yanakusanywa kwa njia ya elektroniki
Aidha amewataka madiwani kukagua miradi ili miradi hiyo iliyojengwa ieandane na thamani ya Fedha
Hayo ameyasema leo katika kikao cha pamoja na madiwani na watendaji wa jiji la Mbeya wakati wa kujadili taarifa ya mkaguzi na mdhibiti wa serikali( CAG)
Kuhusu ukusanyaji wa mapato amewataka watendaji na madiwani kudhibiti mapato kwa kuhakikisha mapato yote yanakusanywa kwa njia ya elektroniki
Aidha amewataka madiwani kukagua miradi ili miradi hiyo iliyojengwa ieandane na thamani ya Fedha
Madiwani halmashauri ya jiji la Mbeya wakiwa makini kumsikiliza mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla (hayupo pichani) katika ukumbi wa halmashauri ya jiji la Mbeya. |
Amos Makalla Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ,mwenye suti akisalimiana na Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi na viongozi wengine. |
Post a Comment