Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla katika Mkutano na wananchi wa Itumbi kusikiliza kero za wananchi na kutatua mgogoro uliopo kati ya wananchi na mwekezaji Vicent Minja Mkazi wa Dar es salaam,ambapo hivi karibuni kulitokea maafa kwa watu 4 kupoteza maisha wiki moja iliopita hali iliyofanya Mkuu huyo wa Mkoa kusitisha zoezi la uchimbaji mgodini hapo sanali na kuagiza Kamati ya Ulinzi
wilaya, kamishina wa madini, mwekezaji, uongozi wa kata, kitongoji na
wawakilishi 5 wa wananchi kukaa kwa pamoja kupata muafaka
Pia amemwagiza kamishina wa madini kufuta leseni za wataoshindwa kuendeleza na maeneo hayo wapewe wachimbaji wadogo
Huku akimtaka kamishina wa madini kukagua migodi na kuangalia usalama wa migodi
|
Post a Comment