Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Meneja Rasilimali watu wa Kampuni ya Peoples Media inayoendesha Kituo cha Radio cha Uhuru FM cha Jijini Dar es Salaam, Paul Mng'ong'o (wanne kushoto), akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vyakula kwa Mwanzilishi wa Kituo cha kujeresha katika maisha ya kawaida waraibu wa dawa za kulevya cha Pili Misana Foundation, Pili Misana, kilichopo Kigamboni, dar es Salaam, leo, ikiwa ni mwendelezo wa Uhuru FM kutoa misaada kupitia kampeni yao ya 'Gusa Maisha yao' kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere. Wengine katika picha ni baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM na Vijana wanaoishi katika kituo hicho. 
Aina ya msaada uliotolewa 
Dereva akiliungurumisha basi kupitia daraja la Kigamboni kwenda kwenye kituo hicho 
Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwenda kwenye kituo hicho cha kusaidia waraibu wa dawa za kulevya kurejea katika maisha ya kawaida, baada ya kufika wafanyakazi hao wakaanza kushuka na vitu vya msaada, mmoja baada ya mwingine .
Cecy Jeremiah 
Binti Abbas Mtemvu 
Mwandishi wa Uhuru na Mzalendo, Njumai Ngota 
Mhasibu Mkuu wa Uhuru FM Alvera Kabwogi 
Mhariri Mkuu wa Uhuru FM Pius Ntiga 
Mfanyakazi Uhuru FM Godliver Koplo 
Meneja rasilimali watu wa Uhuru FM paul Mg'ong'o 
Meneja rasilimali watu wa Uhuru FM paul Mg'ong'o 
Meneja Masoko wa Uhuru FM Furaha Luhende 
Meneja Masoko wa Uhuru FM Furaha Luhende 
Mtangazaji Uhuru FM Zuhura Zidadu 
Mtangazaji Uhuru FM Zuhura Zidadu 
Mtangazaji Uhuru FM Paul Sigori 
Meneja Mawasiliano Uhuru FM Arnold Dominic 

Mhariri Mkuu wa Uuhuru FM Pius Ntiga akiingia kwenye kituo hicho 
Cecy Jeremiah akitafakari jambo baada ya kufika kwenye kituo hicho Kigamboni 
Baadhi wakibadilishana mawazo baada ya kufika kwenye kituo hicho Kigamboni .
Baadhi wakibadilishana mawazo baada ya kufika kwenye kituo hicho Kigamboni .
Mtangazaji said Ambua akibadilishana mawazo na mwanzilishi wa kituo hicho .
Ntiga na wenzake wakifuatilia mambo yalivyokuwa yakienda 
Luhende akifuatilia live kutoka Uhuru FM kwa makini kuhusu matangazo kutoka kwenye kituo hicho cha Kigamboni. 
Sigori na ambua wakiwa tayari kutangaza live tukio hilo la utoaji msaada 
Sigori (kushoto) akitangaza live tukio hilo 
Mwanzilishi wa kituo hicho akitoa maelezo 
Mmoja wa waraibu wa dawa za kulevya akitoa maelezo 
Mmoja wa waraibu wa dawa za kulevya akitoa maelezo 
Arnold Dominic wa Uhuru FM akitoa maelezo ya msaada 
Ambua akitoa maelezo 
Mama kabwogi akitoa maelezo ambapo aliwasihi vijana walioacha matumizi ya dawa za kulevya kuwasaidia wenzao nao kuacha 
Mg'ong'o akikabidhi msaada huo kwa mwanzilishi wa kituo hicho cha Kigamboni. 
Mg'ong'o akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo 
Shughuli ikamalizika kwa watumishi wa Uhuru FM na wenyeji wao kupigwa picha hii ya pamoja. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top