Mkuu
wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu akiwa katika picha
ya pamoja na wafanyakazi wa Taasisi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a
Child’s Heart-SACH) ya nchini Israel ambao walifika katika mkoa huo kwa
ajili ya kumjulia hali na kufuatilia maendeleo ya elimu ya mtoto Julius
Kaijage ambaye mwaka 2013 alifanyiwa upasuaji wa Moyo nchini humo.
Mkuu
wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu akiwa katika kikao
na wafanyakazi wa Taasisi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s
Heart-SACH) ya nchini Israel ambao walifika katika mkoa huo kwa ajili ya
kumjulia hali na kufuatilia maendeleo ya elimu ya mtoto Julius Kaijage
ambaye mwaka 2013 alifanyiwa upasuaji wa Moyo nchini humo.
Mama
Judy Shore kutoka Taasisi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s
Heart-SACH) ya nchini Israel ambaye anaishi nchini Marekani wakizungumza
jambo na mtoto Julius Kaijage ambaye mwaka 2013 alifanyiwa upasuaji wa
moyo nchini Israel. Mama Shore aliamua kuja nchini kumjulia hali mtoto
Julius baada ya kupata taarifa za kupona kwake ugonjwa wa moyo.
Mama
Judy Shore na Tamar Shapira kutoka Taasisi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a
Child’s Heart-SACH) ya nchini Israel wakizungumza jambo na mtoto Julius
Kaijage ambaye mwaka 2013 alifanyiwa upasuaji wa moyo nchini humo.
Wafanyakazi wa SACH walitembelea mkoa wa Kagera kwa ajili ya kumjulia
hali mtoto huyo.
Tamar
Shapira kutoka Taasisi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s
Heart-SACH) ya nchini Israel akipokea zawadi ya kitenge kutoka kwa mtoto
Julius Kaijage ambaye mwaka 2013 alifanyiwa upasuaji wa moyo nchini
humo. Wafanyakazi wa SACH walitembelea mkoa wa Kagera kwa ajili ya
kumjulia hali mtoto huyo.Picha na JKCI
Post a Comment