Mbunge wa Jimbo la Nyasa, Mhandisi Stella Manyanya, ambaye pia
ni Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, akimkabidhi zawadi
Mwakilishi Mkazi wa AfDB, Bi. MarieHellen Minja, mara baada ya kushuhudia tukio la utiaji
saini wa mikataba minne ya mradi wa ujenzi wa barabara za Tabora – Koga- Mpanda
na Mbinga – Mbaba Bay zenye jumla ya (kilomita
402), jijini Dar es Salaam.
Imetolewa na Kitengo
cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
|
Post a Comment