Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Wanachama hao kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam w\kiw\ nje ya ofisi za Club ya Simba wakitaka kujua hatma ya Mgombea wao aliyeondolewa katika Mchakato wa Uchaguzi Michael Wambura.





Polisi na watinga ndani ya eneo hilo


Baadhi ya wananchama hao wakiwa nje ya ofisi ya club hiyo ya simba kutaka kujua hatma ya mgombea wa nafasi ya Urais Ndani ya club hiyo Ndugu Michael Wambura aliye ondolewa katika mchakato wa uchaguzi.


Mamia ya wapenzi na washabiki wa klabu kongwe ya mpira wa miguu hapa nchini Simba leo mchana wamejikusanya kwa wingi na kupinga Michael Wambura kuondolewa kwenye orodha ya wagombea kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Wanachama hao ambao walizunguka jengo hilo na kutaka wapewe sababu za msingi kwanini wambura ameondolewa huku wakitaka kufanya vurugu lakini vyombo vya usalama waliwahi kufika eneo la tukio na kuweza kuwatuliza wanachama Hao.picha na DJ Sek

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top