Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na Dr Ally Olot, mtafiti wa chanjo ya malaria na kiongozi wa
watafiti wa Ifakara Health Institute (IH) ( Malabo, Equatorial Guinea)
walipomtembelea kwenye makazi yake mjini Malabo ambako Rais alikuwa anahudhuria
mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika. Wengine ni Dr. Mwajuma Chemba ambaye ni Mtalaamu
mratibu wa tafiti za chanjo ya malaria, na Elizabeth Nyakarungu, Mtaalamu wa
maabara, utambuzi wadudu wa malaria).
Home
»
»Unlabelled
» RAIS KIKWETE AKUTANA NA WATAALAMU WATATU WA UTAFITI WA CHANJO YA MALARIA KUTOKA IFAKARA HEALTH INSTITUTE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment