Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mtangazaji wa idhaa ya kiswahili ya BBC Salim Kikeke ameibuka mshindi katika Tuzo za watu zinazotolewa usiku huu jijini Dar, katika kipengele cha Mtangazaji wa runinga anayependwa. Hawa ndiyo aliokuwa anachuana nao
MTANGAZAJI WA RUNINGA ANAYEPENDWA
1. Salama Jabir – EATV
2. Sam Misago – EATV

3. Salim Kikeke – BBC Swahili.EDDY BLOG

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top