UHOLANZI imeenda Robo Fainali ya
Kombe la Dunia baada ya kuifunga Mexico mabao 2-1 ikitoka nyuma kwa 1-0 jioni
hii nchini Brazil.
Shkurani kwake, Klaas-Jan Huntelaar
aliyefunga kwa penalti bao la ushindi dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada
ya kutimu dakika 90 za kawaida, baada ya Arjen Robben kuangushwa kwenye boksi
na Marquez.







Post a Comment