| Afisa Elimu Msingi jiji la mbeya Aurelia Lwenza akishukuru kwa kupata msadaa huo. |
| Meya wa jiji la Mbeya Atnas Kapunga akizungumza katika hafla hiyo ambapo aliwataka wadau pamoja na Benki hiyo kuto choka kusidia skta hiyo ya elimu hususani katika eneo la madawati. |
| Baadhi ya madawati yaliyotolewa na Benki hiyo ambapo kwa shule ya msingi Mbata jumla ya madawati 65 na Azimio 65 huku mbeya day ikipatiwa madawati 84. |






Post a Comment