Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Bi.harusi mtalajiwa Lulu Simkoko akiwa katika pozi la kiubwabwa ubwawa.

Lulu akiwa pamoja na familia yake katika hospital ya Mkoa wa mbeya kwa lengo la kutoa zawadi ya mahitaji mbalimbali kama sehemu ya kushukuru kwa kwa kupata Mr ambapo harusi yake inatalajiwa kufungwa Nov 7 mwaka huu katika ukumbi wa mkapa jijini hapa..



Bi.harusi akiwa na mama yake mzazi 

Baba Mzazi wa Bi Harusi Mzee Simkoko



Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top