Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

 BAADHI  ya wanafunzi wa skuli ya Benbella wakifuatili kwa makini utaratibu wa maonesho ya kutimia miaka 90 ya skuli ya sekondari wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa kitembelea mabanda mbali mbali ya maonesho hayo leo skulini hapo,[Picha na Ikulu.]
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwangalia wanafinzi wa Sayansi Hamada Sheha Vuai na Sumaiya Ussi Abdalla wa Skuli ya Sekondary ya Lumumba wakifanya upasuaji wa Panya wakati alipotembelea maonesho ya maadhimisho ya  kutimia miaka 90ya Skuli ya Sekondary ya Benbella leo Skulini hapo,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwangalia wanafinzi wa Maandalizi wa Skuli ya Mkunazini Mjini Unguja Darasa la tatu (3) ambao wanatumia kompyuta kwa njia ya kusoma Vitabu wakati alipotembelea maonesho ya maadhimisho ya kutimia miaka 90 ya Skuli ya Sekondary ya Benbella leo,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Wanajumuiya ya Wasaidizi wa Sheria (ZAPAO) wakati alipotembelea maonesho katika maadhimisho ya kutimia miaka 90 ya Skuli ya Sekondary ya Benbella leo,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea Risala kutoka kwa Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Sekondary ya Benbella  Kibibi Mohammed Mbarouk katika sherehe ya kutimia miaka 90 ya Skuli hiyo leo,[Picha na Ikulu.]

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top