| Burudani |
| Wahitimu wa mafunzo ya Elimu ya Afya ya Uzazi kwa vijana ambao ni wanafunzi wa chuo Kikuu Mzumbe Tawi la Mbeya wakisoma Lisala kwa kwa Mgeni Rasmi . |
| Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Nyerembe Munasa akisalimiana na wahitimu wa mafunzo ya elimu ya Afya ya uzazi wa mpango kutoka Chuo Kikuu Mzumbe Tawi la Mbeya. |
| Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Nyerembe Munasa akizungumza katika ufungaji wa mafunzo hayo katika viwanja vya Chuo Kikuu Mzumbe Tawi la Mbeya.Picha David Nyembe |







Post a Comment