| Mkutano ukindelea |
| Mwenyekiti wa bodaboda Mkoa wa Mbeya wa kwanza kushoto Vicent Mwashoma pamoja na Katibu wa Bodaboda jiji la Mbeya Msumba Mdesa wakisikiliza kwa makini yanayoendelea katika mkutano huo. |
| Wanahabari wakichukua mawili matatu katika mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya Cofee Garden jijini Mbeya |
| Picha ya pamoja Viongozi wa Bodaboda Mkoa wa Mbeya pamoja na Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Mbeya Ndugu Aman Kajuna |






Post a Comment