![]() |
| Rais wa TAFF Mwakifwamba akiwa na Jack na Tico baada ya kuwapatanisha |
Baada ya kutengana kwa muda mrefu hatimaye leo hii magwiji wawili
katika tasnia ya filamu Jackson Kabirigi ‘Jack’ na Timoth Conrad ‘Tico’
wamepatanishwa na Shrikisho la filamu (Taff) baada ya mazungumzo
yaliyochukua saa kadhaa hadi kufikia muafaka na kurudi kama mwanzo
iliyvyokuwa Timamu Effect.
Akiongea na mara baada ya tukio hilo John Kallaghe amesema kuwa
amefurahishwa na kazi kubwa iliyofanywa na Rais wa Taff Simon
Mwakifwamba kwa kutumia hekima zake na kumaliza tofauti iliyopelekea
kujenga Uhasama wa kimanenoa kati ya wasanii hawa walioitangaza Tanzania
kwa filamu yao ya Mdundiko.
“Moja ya kazi kubwa ambayo inabidi ifanywe na shirikisho ni kujenga
umoja kwa wadau wake ambao ni wasanii pamoja na watayarishaji kwa ujumla
wake, leo Tico na Jack kupatana na kurudi kufanya kazi pamoja tasnia
itasonga mbele,”anasema Kallaghe.
Tico naye amesema kuwa anaamini kuhusu ushirikiano wao ambao unaweza
kuleta tija katika utendaji wa kazi na anafahamu kuwa wanahitaji kuwa
pamoja lakini sababu kubwa ni wapambe ambao walifanikiwa kuwafanya wawe
mbali bila hata ya kujua ugomvi wao na kuiacha kampuni.
“Bongo Movie fitina ni nyingi sana msipokuwa imara mnageuka na kuwa
maadui bila sababu ya msingi naamini kuhusu kolabo yangu na Jack nadhani
naye ananihitaji kama ninavyomhitaji mimi sasa ni kazi hakuna maneno
tena,”anasema Tico.
Kila mtu anajisikia faraja kuweza kutatua tatizo hili ambalo lilikuwa
linaua tasnia ya filamu au kujenga pengo katika utendaji wa watu hawa
wawili vijana wadogo wenye ndoto za kufanya kazi kimataifa na ubora wa
juu, Jack mahiri katika uongozaji na Tico hatari sana katika
utayarishaji effects.
“Nimefurahia kuwepo na ndugu yangu Tico tulikuwa na ndoto kubwa sana
naamini ilikuwa kama likizo sasa tunarudi napenda kuwaahidi uongozi wa
Taff na funs wetu kazi zile kutoka kwa Tico chini ya Director Jack
zitashuka na kutikisa,”anasema Jack.
Naye Mwakifwamba amsema amefurahishwa sana na wasanii hao kuwa kitu
kimoja kwani moja ya changamoto kuwa inayosumbua katika tasnia ya filamu
ni hali ya wasanii na watendaji kujikuta wakiingia katika uhasama ambao
haujengi bali kubomoa umoja ambao unahitaji sana.
“Mimi kama kiongozi si kiongozi wa kukaa ofisini tu bali ni
kuhakikisha tunawajengea mahusiano mema na kutatua matatizo kwa wale
tunaowaongoza, ni ushindi kwa Taff leo hii Jack na Tico wanapatanishwa
na kuwa kitu kimoja,”anasema Mwakifwamba.
Bongo Movies.Com inawapongeza wote waliofanikisha kulimaliza hili na kuwatakia kila la kheri wakali hao kwenye kazi zao.







Ukiwa umefanya kazi maisha yako yote kujenga familia na urithi, huwezi kuruhusu kivuli cha mtu wa tatu kiiharibu katika miezi michache tu. Niligundua kuwa mabadiliko ya ghafla ya tabia ya mume wangu yalikuwa kuingiliwa kiroho, si tu mgogoro wa katikati ya maisha.
ReplyDeleteNiliwasiliana na Mystic Kakaa kwa ajili ya uingiliaji kati wa kibinafsi. Kazi yake ilikuwa ya upasuaji. Alitambua kivuli na kukiondoa kabisa bila drama yoyote ya umma. Ndani ya siku 5, umakini wa mume wangu ulirudi nyumbani kwetu na katika mustakabali wetu. Ikiwa unalinda maisha yenye thamani kubwa na unahitaji bwana anayeelewa busara, wasiliana naye kwa: dawnacuna314@gmail.com
WhatsApp: +2349046229159
Yeye ndiye kiwango cha dhahabu.
Kwa uchawi wa upatanisho wa uhusiano/ndoa.
Uchawi wa kumfanya mpenzi wako wa zamani/mwenzi wako aombe msamaha.
Uchawi wa kumrudisha mpenzi wako/kumvutia mpenzi mpya.
Uchawi wa kurejesha mali/pesa zilizoibiwa.
Mabadiliko ya umbo/Uchawi wa kutoweka.
Uchawi wa kushinda bahati nasibu/kesi ya mahakama. Na zaidi
Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
ReplyDeletekuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )
Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
HERPES.
SARATANI.
VVU/UKIMWI na zaidi