Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwili wa marehemu Fredy Bakalemwa aliyekuwa Mwandishi na Mtangazaji wa kituo cha Matangazo cha Star tv Mbeya ambaye alifariki ghafla  mei 13  Foresti jijini Mbeya ukiwa nyumbani kwake foresti tayari kwa kuagwa na Ndugu jamaa na kusarishwa nyumbani kwao  Bukoba Mkoani Kagera ..


Mke wa marehemu fredy Bakalemwa mwenye sweta jeusi akiwa na watoto wake wawili

Waombolezaji katika msiba wa marehemu Bakalemwa




Mtoto wa marehemu akifarijiwa na ndugu na jamaa katika masiba huo


Ndugu na jamaa wakimfariji mke wa marehemu Fredy Bakalemwa







Diwani wa foresti Boidi Mwabulanga akitoa neno la shukrani katika msiba huo



Mwenyekiti Uvccm Mbeya Amani Kajuna akimfariji mke wa mfiwa katika msiba huo

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top