| Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla (mwenye miwani) akimkabidhi mti wa matunda mmoja wa wananchi waliojitokeza katika hafla ya uzinduzi wa upandaji miti Kimkoa katika Kata ya Iganzo Jijini Mbeya |
| Baadhi ya wananchi wa Kata ya Iganzo jijini Mbeya wakiwa wameshika miti ya Matunda tayari kwa zoezi la upandaji katika chanzo cha maji cha mto Imeta barabara ya Mbeya Chunya . |
| Askari wa Jkt wakishiriki vyema zoezi la upandaji miti katika katika ya Iganzo katika chanzo cha Maji cha Mto Imeta jijini Mbeya. |
| Zoezi la Upandaji miti likiendelea |






Post a Comment