Watu wengi tumekuwa tukisikia kuwa Chatu ni nyoka ambaye
humeza vitu vizima lakini pengine pia wengi wetu hatujawahi shuhudia jinsigani
chatu huyo jinsi anavyofanya mpaka kummeza mnyama...
Huu ni mfano mzuri ambapo Chatu huyu alifanikiwa kuumeza
kuumeza mnyama Swala ....
Fuatilia hapa
![]() |
|
Hapa Chatu akiwa anaongeza Bidii za kumkunja na kumvunja
mifupa
|
![]() |
|
Hapa anaendelea kumvunja zaidi huku akimmeza
|
![]() |
Akiendelea Kummeza
![]() |
| Hapa anavuta ngozi huku akumvuta kuumeza |
![]() |
|
Miguu ndio hiyo inaishia sasa...
|













Post a Comment