![]() |
Aliyekuwa kocha msaidizi wa Mbeya City Ndugu Maka Mwalisi ambaye kwa sasa kocha mkuu wa Timu ya daraja la kwanza ya Panon ya Moshi
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Alisema, kila kocha
anapoishika timu na kuifundisha hutumia ujunzi na uwezo wake hivyo kitendo cha
yeye kuendelea kubaki Mbeya City ni kufungia ujuzi wake kabatini.
Kocha Maka alidai kuwa anaamini
ya kwamba timu hiyo ikiwa na kikosi chake kile kile itaendelea kufanya vizuri
ndani na nje ya nchi.
Aidha alisema changamoto anayoiona mbele ya timu hiyo ni
hatua ya wachezaji kuwa mbali nay eye kwani amekuwa na wachezaji kwa muda mrefu
kabla ya hata kujiunga na mbeya city.
Alisema kikubwa ambacho wachezaji hao watakikumbuka
kwa kocha huyo ni hatua ya kuwaweka karibu na kuondoa tofauti zao pamoja na
kuwaanda vyema kukabiliana na changamoto za kimchezo na maisha ya kimpira kwa
ujumla wake...Na kama ulikuwa mfuatiliaji mzuri wa machapisho yetu hapa basi utakuwa unakumbuka juu ya kisa hiki na kama hukuwahi soma ingia katika link hii.....http://jamiimoja.blogspot.com/2014/07/kocha-msaidizi-mbeya-city-aweka-wazi.html
|
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







Post a Comment