Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Baada ya kutokea figisufigisu kwa muda sasa kati ya baadhi ya waigizaji na muaandaaji, hatimaye filamu ya Mateso Yangu Ughaibuni itaingia sokoni hivi karibuni. Na hili ndio bandiko lililobandikwa mtandaoni na Didas Entertainment ambao ndio watengenezaji wa filamu hiyo.
“Shukrani kwanza ziende kwa Muumba pili kwa mama yangu mzazi. Kila jambo lenye kheri ukilifanyia subira huwa lina zaa kheri kubwa. Baada ya kushindwana Bei na ma distributors wa bongo, Kampuni moja ya waghana wameamua kuinunua Movie ya MATESO YANGU UGHAIBUNI na itaanza kusambazwa rasmi tarehe 1March. Itaanza kusambazwa UK, Europe na Marekani. Baadae ndio itaingia Tanzania. Nawao ndio watakao kuwa ma distributors wa movies zangu na za wengine. Mi naona ni hatua kubwa ya kuanza kuwafanya wasanii wa tasnia ya filam kuanza”.
Tukae mkao wa kula.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Ushauri n.k.?Basi Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0759 406 070

Post a Comment

 
Top