| Add caption |
| Kwaya ya Ukombozi ikitumbuiza wakati wa ibada maalum ya shukruni iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Msasani. |
| Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akiwa na mke wake wakiwa katika ibada ya Shukrani kutokana na mafanikio waliyopata katika kipindi cha mwaka 20 |
| Baadhi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB wakiwa katika ibada ya Shukrani. |
| Mkurugenzi wa Masoko Utafiti Huduma kwa Wateja |
| Kwaya ya Ukombozi ikitumbuiza. |
| Ibada ikiendelea. |
| Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Mkoa wa Kilimanjaro, Francis Mollel (wa pili kushoto) akishiriki Ibada hiyo.credt Michuzi |
| Add caption |
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Msasani, mchungaji Elgard Metili akiimba nyimbo za injili.
|






Post a Comment