Home
»
»Unlabelled
» MAKAMU WA RAIS AWAHAKIKISHIA MAENDELEO WANANCHI WA MKOA WA MBEYA
Na EmanuelMadafa,Mbeya
MAKAMU wa Rais ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia
Suluhu, amewahakikishia wakazi wa Mkoa wa Mbeya, kwamba serikali imejipanga
kutekeleza na kutatua changamoto muhimu za kimaendeleo, ikiwemo ya miundombinu
ya barabara.
Makamu wa Rais, ameyasema hayo, leo wakati akizungumza na
mamia ya wananchi katika eneo la Mbalizi Wilayani Mbeya, eneo linalotajwa
kuongoza kwa matukio ya ajali za barabarani.
Amesema, katika kulitekeleza hilo, tayari serikali
imeshughulikia changamoto ya ujenzi wa barabara ya mchepuko ya kilomita 40
ambayo itasaidia kupunguza au kudhibiti ajali za barabarani zinazotokea kwenye
barabara kuu ya Tanzania na Zambia (TAZAMA).
“Mwaka juzi
mlifanya kazi kubwa sana, tumekuja kuwahikikishia kwamba serikali itatekeleza
yale yote tuliyo ahidi, nadhani spidi mnaiona,”amesema.
Aidha, amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani kwani
ndio sialaha ya maendeleo na kuwasisitiza kuchaguai viongozi watakaoendana na
kasi ya rais na waioendekeza tama wakati wa uchaguzi wa viongozi wa serikali za
mitaa.
Mwisho.
Recent Posts
- MKUU WA WILAYA YA CHUNYA AAHIDI KUPAMBANA NA WAFUGAJI WAHALIBIFU WA VYANZO VYA MAJI07 Nov 20181
Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya Meryprisca Mahundi (katikati) akimkisikiliza kwa makin...Read more ?
- 25 Oct 20180
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila (wa pili kushoto) akikabidhi cheti cha shukrani kwa ...Read more ?
- 25 Oct 20180
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila (wa pili kushoto) akikabidhi cheti cha shukrani kwa ...Read more ?
- MHAGAMA AAGIZA NEEC KUFANYA TATHIMINI YA UHALISIA WA WANUFAIKA WA MIKOPO INAYOTOLEWA NA TAASISI ZA KIFEDHA20 Oct 20180
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenis...Read more ?
- MK17 Oct 20180
Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mhandisi Meryprisca Mahundi (kushoto) akisikiliza meelezo kutoka kwa mmoj...Read more ?
- BABA AMUUA MTOTO WAKE KWA SUMU MBEYA31 Aug 20180
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.